Siku Za Kilio Zimepita

Siku Za Kilio Zimepita

Ambassadors Of Christ Choir

Длительность: 5:24
Год: 2022
Скачать MP3

Текст песни

Sauti ilisikika mjini Rama
Kilio na maombolezo mengi
Raheli akiwalilia watoto wake
Lakini hakutaka kufarijiwa kwa kuwa hawako tena

Bwana asema hebu zuia sauti yako usilie mama
na macho yako kamwe yasitoke machozi tulia ee jipe moyo
Bwana asema hebu zuia sauti yako usilie mama
na macho yako kamwe yasitoke machozi tulia ee jipe moyo

Maana kazi yako itapata thawabu
na kwa nguvu mpya
Nguvu mpya utainuliwa tena

Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
Siku za kilio zimepita zimekwisha (aanha)
Sasa twasonga tena mbele
Mbele kwa kazi yake bwana
Matokeo kwamwe hayatatukatisha tamaa (anhaa)
Na tutaweza yote
Kwa jina lake mwenye nguvu
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza

Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
Siku za kilio zimepita zimekwisha (aanha)
Sasa twasonga tena mbele
Mbele kwa kazi yake bwana
Matokeo kwamwe hayatatukatisha tamaa (anhaa)
Na tutaweza yote
Kwa jina lake mwenye nguvu
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza

Twatiwa nguvu kwa neno lake bwana Mungu uuhuu
asemapo baada hayo yote nitarejea,
nami nitaijenga tena nyumba yake Daudi iliyoanguka
nitajenga tena maanguko yake nitaisimamisha,

Kwa ajili yake bwana twaweza kuuwawa mchana usiku kucha
twahesabiwa kuwa kama kondoo wasubirio kuchinjwa,
Lakini katika mambo haya yote tumeshinda na zaidi ya kushinda
kwa yeye aliyetupenda jina lake lisifiwe milele.
Baada ya siku hizo za kupigwa vikali
Kama alivyoahidi nguvu mpya ametupatia tena.

Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
Siku za kilio zimepita zimekwisha (aanha)
Sasa twasonga tena mbele
Mbele kwa kazi yake bwana
Matokeo kwamwe hayatatukatisha tamaa (anhaa)
Na tutaweza yote
Kwa jina lake mwenye nguvu
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza

Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
Siku za kilio zimepita zimekwisha (aanha)
Sasa twasonga tena mbele
Mbele kwa kazi yake bwana
Matokeo kwamwe hayatatukatisha tamaa (anhaa)
Na tutaweza yote
Kwa jina lake mwenye nguvu
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza

Wakati tulio nao
Si wa kuomboleza tena
Siku za kilio zimepita zimekwisha (aanha)
Sasa twasonga tena mbele
Mbele kwa kazi yake bwana
Matokeo kwamwe hayatatukatisha tamaa (anhaa)
Na tutaweza yote
Kwa jina lake mwenye nguvu
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza