Love Is All Is Alright (Remix)
Ub40
4:58Malaika, nakupenda malaika Malaika (malaika), nakupenda malaika Ningekuoa mali we Ningekuoa dada Nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Nashindwa na mali sina we (mali sina we) Ningekuoa malaika Pesa (pesa), zasumbua roho yangu (ooh) Pesa (pesa), mm, zasumbua roho yangu Nami nifanyeje Kijana mwenzio Ay, nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Kidege (kidege), kukuwaza kidege Uh, kidege (kukuwaza), kukuwaza kidege Nami nifanyeje, yeah Kijana mwenzio, oh Ay, nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Ningekuoa malaika Ningekuoa malaika Malaika, nakupenda malaika Ningekuoa mali we Ningekuoa dada Nashindwa na mali sina we Ningekuoa malaika Nashindwa na mali sina we (mali sina we) Ningekuoa malaika Ningekuoa malaika, mm Ningekuoa malaika