Tunakuabudu
Evelyn Wanjiru
5:46Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Bwana Mungu wangu weh Umenikomboa eh Umeniwezesha mimi Wewe ni mkuu Ukaniita Kwa jina langu eh Ukaniwezesha bwana eh Nikuabudu bwana nikuimbie Nilipokuwa kwenye dhambi Ukanionyesha mwanga Mwanga Wewe ni mwanga wangu bwana Wewe ni mkuu. Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Bwana mungu wangu eh Wewe ulimsaidia ayubu Alipokuwa na shida nyingi Bwana ulikuwa naye Neno lako linasema Unazo Fedha eh Zote ni zako bwana Wewe ni muweza Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Wewe ni muweza Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wakati ninazo shida Na magonjwa Bwana unasema Tuliite jina lako Wewe ndiye muweza Wewe ndiye mwenye nguvu Wewe ni kimbilio baba Waweza mambo yote. Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Waweza waweza Waweza mwokozi Waweza mambo yote Wewe mwaminifu Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza Unaweza Unaweza Unaweza Baba unaweza