Utafurahi
Guardian Angel
4:05Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta nawe, Safi nawe, Wangu mtima unabubujika nawe, Natamani tu kukamata selfie nipost ili watu wajue niko sambamba nawe Swadakta nawe, Safi nawe, Wangu mtima unabubujika nawe, Natamani tu kukamata selfie nipost ili watu wajue niko sambamba nawe Maombi uliyasikia Milango ukanifungulia Izo ma blessing nikazipokea eh Niko sawa Sawa Maombi uliyasikia Milango ukanifungulia Izo ma blessing nikazipokea eeh Niko sawa Sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Niko swadakta kwako tu ndio mi nadata , Kile naitisha ni napata enemies unawascatter, Kwako tam kama kashata niko sawa Niko swadakta kwako tu ndio mi nadata , Kile naitisha ni napata enemies unawascatter, Kwako tam kama kashata niko sawa Maombi uliyasikia Milango ukanifungulia Izo ma blessing nikazipokea Niko sawa Maombi uliyasikia Milango ukanifungulia Izo ma blessing nikazipokea Niko sawasawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Niko swadakta walonicheki kwenya street wanajua, ooohh wanajua, Niko swadakta walonicheki kwenye slum wanajua, ohhhh wanajua, Niko swadakta walonichi kwenye cell wana wanashangaa, Niko swadakta nilowaomba pa kulala wanajua kwamba unainua, Kama uliniinua, nao utawainua wawe swadakta wawe Sawa Sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa Swadakta na wewe, najua unachunga maisha yangu Swadakta na wewe, Niko sawa sawa