Nimemuachia
Martha Mwaipaja
4:25Naiona kesho, kesho iliyopangwa na Baba Naiona kesho, kesho iliyopangwa na Mungu Naiona kesho mimi, kesho iliyopangwa na Baba Kesho ya heshima ah, iliyopangwa na Baba Kesho ya neema ah, iliyopangwa na Baba Kesho yenye utukufu, iliyopangwa na Baba Kesho ya kuinuliwa ah, iliyopangwa na Baba Kesho ya ushindi, iliyopangwa na Mungu Kesho yenye nguvu, iliyopangwa na Baba Sitaki kuitazama leo yangu, mwenzenu Sitaki kuitazama leo yangu, mwenzenu Leo yangu ni shida ah, mwenzenu Leo yangu ni taabu, mwenzenu Leo machozi yanitoka ah, mwenzenu Leo nimekataliwa ah, mwenzenu Leo nimefukuzwa mapema, mwenzenu Leo wote waniacha ah, mwenzenu Leo machozi ni mengi, mwenzenu Sitaki kuitazama leo yangu, kamwe Sitaki kuitazama leo yangu, mimi Leo yangu ninalia, mwenzenu Leo ninateseka ah, mwenzenu Leo mateso ni mengi, mwenzenu Naiona kesho yangu, mwenzenu Naiona kesho yangu, mwenzenu Japo vita yangu ni kubwa, mwenzenu Maadui wangu ni wengi, mwenzenu Japo mateso yangu ni magumu, mwenzenu Kuna neno amesema nami, mwenzenu Atapigana ah, amesema Atafanya mlango oh, amesema Atanifanyia wepesi, amesema Japo vita yangu kubwa, mwenzenu Japo adui ni wengi, mwenzenu Japo njia siioni, mwenzenu Atapigana mwenyewe, amesema Atafanya wepesi, amesema Atanifanyia wepesi Bwana, amesema Atanichunga salama, amesema Atafanya mlango oh, amesema Atapigana na adui ah, amesema Kasema niione kesho aliyoniwekea Kasema niione kesho aliyoniwekea Kuna majira yalifika nikajua Mungu Kuna majira yalifika nikamwelewa Majira yale yalikuwa magumu Majira yale yalikuwa ngumu Kwa macho yangu nikaona akitenda Kwa macho yangu nikaona akitenda Akasema, "Mwanangu, nakupenda" Akasema, "Mwanangu, nakupenda" Usiitazame leo yako, mwanangu Usiitazame leo yako, mwanangu Mbona mimi ni Mungu, nikupendaye Mbona mimi ni Mungu, nikupendaye Ni kweli kwa macho ya nyama, mimi nimechoka Wengi wanitazamapo, kweli nimeshindwa Wengi wanionavyo, kweli nimeshindwa Kweli kwa mbio za mimi nimechoka Kweli kwa mwendo wangu nimeshindwa Kwa macho ya nyama nimechoka Kwa macho ya watu nimeshindwa Lakini hakuna hata mmoja Anayejua patano langu na Mungu, oh Lakini hakuna hata mmoja, ah Anayejua nimepatana nini Tumepatana na Baba, hataniacha Hata nikisukwa, sukwa sitamuacha Hata nikilia, nisimwache Hata nikiteseka ah, nisimwache Tumepatana na Baba Nimepatana na Baba Nimepatana na Baba Nimepatana na Baba Naiona kesho yangu iliyonjema, ah Naiona kesho iliyonjema, ah Mwenzenu, naiona kesho Naiona kesho, kesho (kesho) iliyopangwa na Baba (kesho ya heshima) Naiona kesho, kesho, (ah) iliyopangwa na Mungu (kesho ya neema) Naiona kesho, kesho, iliyopangwa na Baba (kesho ya kufanikiwa) Kesho ya heshima ah, (kesho, kesho, kesho ya utukufu) Iliyopangwa na Baba Kesho ya ushindi (kesho ya heshima yangu na mimi) Iliyopangwa na Mungu Kesho ya heshima, iliyopangwa na Baba (oh, kesho) Naiona kesho, kesho, iliyopangwa na Baba (Baba, kesho, kesho, kesho ya neema) Naiona kesho, kesho, iliyopangwa na Mungu (kesho ya heshima) Naiona kesho, kesho (kesho, ya wote kumjua Mungu wangu) Iliyopangwa na Baba Kesho ya heshima, ah (kesho, kesho), iliyopangwa na Baba Kesho ya ushindi, iliyopangwa na Mungu (kesho ya heshima, kesho, kesho, ah) Kesho ya heshima ah, (kesho ya utukufu wangu), iliyopangwa na Baba Kesho, kesho, kesho, ah