Interlude (Feat. Joel Alfredy)

Interlude (Feat. Joel Alfredy)

Nelly-Music & Dorah Andry

Альбом: Mhamiaji
Длительность: 3:34
Год: 2025
Скачать MP3

Текст песни

Kila jambo lina wakati wake
Na kila wakati una uzito wake
Katika upepo wa dunia
Wakati wetu ni kivuli
Kila hatua
Kila pumzi
Ni wimbo wa maisha
Time is more than a ticking clock
It's the rhythm of our souls
The pulse of the Earth
We are born
We live, and we fade
But each moment is a lesson
Unwritten
Untold
A dance between patience and haste
Kuna nyakati za upweke
Na nyakati za umoja
Nyakati za mafanikio
Na nyakati za kushindwa
Lakini kila wakati una funzo
Hatuwezi kubisha mlango wa wakati
Wakati hutujia
Waja kwa njia na namna yake
Ya tofauti
When the noise of life drowns my spirit
I feel the weight of time
Pulling my heart
The rush
The chaos
The push to move faster
Yet deep inside
I know
There is peace in waiting
A stillness
A quiet that speaks
Louder than the world's cries
Remind me to stay calm
Nikae kimya
I want to shut down every noise
That distracts my calm
Every whisper
That pushes me away
From the dawn of my soul
Every voice
That makes me question my rhythm
Every judgment that steals my silence
I will not bend
I will not break
For in stillness
I'm remade
I yearn to rest in God's timing
To trust the rhythm
He has set for me
To know when to step forward
And when to be still
For His hands are the hands of time
Gentle
Precise
Loving
Kind
Mungu nisaidie kutulia
Kama maji yatuliavyo baada ya dhoruba
Upepo usimamapo
Kutoa pumzi yake kwa amani
Nipe uvumilivu wa kujua wakati wa kweli
Wa kutenda
Wapi ninene,wapi ninyamaze
Wakati wa kuacha
Kupumzika
Wakati wa kuweka nguvu yote na kuachilia
Ili nisije nikapotea
Kwenye mzunguko wa dunia
Nikawa kipande
Cha kivuli cha watu wengine
Siku zote nichague kukaa
Kimya nikuskize
Maana wewe wajua vyema sana
Time teaches us the language of surrender
To flow with the seasons
Not against them
For every minute is a gift
Every second
An opportunity to align with eternity
When the world is too loud
I will listen to the quiet
When the storm rages
I will wait for the calm
In the silence of God's wisdom
I will find my rhythm
My heart will beat
In sync with time
And I will know
Kila jambo lina wakati wake
Kwangu itakuwa amani
Kwa maana nipo katika mikono ya majira yake
Nitakaa hapo
Kimya
Maana ndipo pekee penye majibu
Na majawabu ya maswali yangu
Kwenye uwepo wako
Ni salama!
Nitakaa hapo
Kimya!