40 Missed Calls (Feat. Vanillah)

40 Missed Calls (Feat. Vanillah)

Rapcha

Альбом: To The Top Vol.2
Длительность: 3:44
Год: 2023
Скачать MP3

Текст песни

40 Missed Calls

Verse 1: Rapcha
Someone is playing with me
kuna mtu ananichezea
Someone is playing with me
Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
Huu ni mwezi wa tano unaingia
Nkitazama muda ni Saa sita usiku, baada ya kumtafuta sana huyu mwenzangu ndo nyumbani
anaingia
Niambie umetoka wapi Salma
Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana story zako mjini naambiwa
Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
Unanipandisha hasira navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka kama unaonewa
Hebu Leta simu yako, fungua!!!
Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapuaAkili ikaflip, gun nkanyanyua
Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
Bora tu tuachane umezidi kunitishia
Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
Kama we kidume fyatua..
Gun shots!!

Chorus: Vanilla
Nilikupenda mpaka kufuru nikawa nawaza jidhuru ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru na ukashindwa shukuru ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah

Verse 2: Rapcha
Fahamu zinarudi akili imeduaa
Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
Ila nguvu zote zishaniishiaNikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
Dhambi inaanza kunitafuna
Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
Najiona mnafki kwa kumwaga damu kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
Itanitesa maisha yangu yote hii memory
Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
litimie agano
Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
Gun shot!!
Vanilla
Roho yangu inauma
Kosa lako kuzichezea hisia zangu
Inamaana hukuona
Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako?
Aaah

Chorus
Nilikupenda mpaka kufuru nikawa nawaza jidhuru ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru na ukashindwa shukuru ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah