Tetema (Feat. Diamond Platnumz)
Rayvanny
2:34Yeah! (Aah-aah) Chui (ooh-ooh) (S2kizzy baby) (Naoa ye', naoa ye', naoa hiki chombo, naoa ye', naoa ye', ah-ah-ah) Hanaga CV ya kuachika, aliwaacha wote aliokuwa nao before Mikono yake sio ya kupika, ni kunishika, shika na kunihesabia dough Kuku tetea ametulia, show-show time ona anavyopanda jogoo Mahari kwao nitatoa na mia, wakitaka ng'ombe nitawaongeza kondoo Una balaa, baby, una balaa Una balaa, baby, una balaa Una balaa, baby, una balaa Hata wakikataa, baby we' ni kifaa, iyoo Utamu nipunguze ama niongeze, baby (aah, ongeza) Mahaba nikupe yote ama yanatosha, baby (aah, baby, ongeza) Utamu nipunguze, niongeze, baby (aah, ongeza) Nikupe ndizi na nini, muhogo, baby (aah, baby, ongeza Naoa, eh, eh, naoa ye' Naoa, siwadanganyi, naoa Naoa, eh, eh, naoa ye' Naoa hiki chombo, naoa Naoa, eh, eh, naoa ye' Naoa, siwadanganyi, naoa Naoa, eh, eh, naoa ye' Naoa hiki chombo, naoa Mi' nimemiss penzi internationally Sio kifisi, fisi mahaba ya Kisomali, oh Ooh, wajua mimi siwezi kukuacha wewe Nataka uishi na mimi Usiniache, nisikuache, oh-oh, please Ah-ah-ah Nimetandika busati, keti kwenye roho, oh Kanikogesha marashi, te amo Kama unakuja, kama una go We' na malaika, Kurwa na Dotto Yanayonivuta, mahaba yako Mama nakuita, uje Kariakoo Naoa ye', naoa Naoa ye', naoa Ali, naoa, naoa Naoa ye', naoa Naoa ye', naoa (ah) Naoa (naoa yeye) ye', naoa Ali, naoa, naoa (oh) Naoa (naoa yeye) ye', naoa Ali leo naoa ye, eh-ih Oh-whoa, oh, oh-oh Yup! Ali leo naoa ye', eh-ih (Kamix Lizer)