Bado
Rose Muhando
5:35Wanyamazishe Bwana Milele wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakae kimya kimya Wanyamazishe Bwana Wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakae kimya kabisa Wapofushe macho yao Wasinione wakae mbali nami Ah wasinione Kwa kuwa walitangaza msiba juu yangu Wala hawakutaka ipone nafsi yangu Wakafanya sherehe kupitia jina langu Waliona fahari kutangaza mauti yangu Wakachuma na pesa kupitia jina langu Hawakuona vibaya kuumiza familia yangu Walifanya dhihaka kudhihaki watoto wangu Ah namtuma malaika nyumbani kwao Atangaze msiba kwenye familia zao Namtuma Gabrieli malangoni kwao Atangaze msiba malangoni kwao Nawafanye matanga maishani mwao Natangaza msiba kwenye malango yao Natangaza matanga nyumbani kwao Yasikome matanga kwenye familia zao Laana kifo, iwe juu yao Wala wasiwe salama watoto wao Mauti iwe fungu lao Kushindwa uwe mbele yao Kwa kuwa mimi nimekutumaini Wanyamazishwe Watahayarishwe, wafedheishwe Wahangaike, waaibike Kwa kuwa mimi nimekutumaini Wanyamazishe Bwana Milele wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakae kimya kimya Wanyamazishe Bwana Wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakae kimya kabisa Wapofushe macho yao Wasinione wakae mbali nami Ah wasinione Ah Mikaeli wa vita namtuma kwao Upeleke mafarakano kwao Wasielewane waupwa wao Nasema wagombane wauma wao Walane watafunane waupwa wao Wavurugane waupwa wao Maadui wapigane waupwa wao Mungu mwenyezi awe adui wao Wakitazama kulia wamwone Gabrieli Wakitazama kushoto wamwone Mikaeli Mbele yangu wamwone Rafaeli Wafadhaike Watahayarishwe Wagonganishwe Watayarike usiwape nafasi Wanyamazishe bwana Milele wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakimyee milele Wanyamazishe bwana Wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakae kimya kabisa Wapofushe macho yao Wasinione wakae mbali nami Ah wasinione Wanyamazishe bwana Milele wanyamaze Wafunge mpito kwa Yesu Na wakimyee milele Wanyamazishe bwana Wafunge mpito kwa Yesu Wapofushe macho yao Wasinione wakae mbali nami Ah wasinione