Naogopa

Naogopa

Zabron Singers

Альбом: Niko Sawa
Длительность: 4:37
Год: 2023
Скачать MP3

Текст песни

Verse 1 

Naogopa nikiwambia watu sijui wataniona vipi!

Naogopa kuyasema yote acha tu ninyamaze kimya ( hey hey hey)

Naogopa kuwaambia watu  wanaanza kuniseng`enya 

Nina maswali Mengi Miguuni pako

Kwa nini Mungu umekuwa kama vile huoni 

Pesa sina lakini umeacha niuguee 

Namtegemea lakini umemwacha aondoke 

Kwa nini Mungu umenyamaza  aaaaa


Chorus

Mawimbi ni makali ,upepo ni mkali naa mlima ni mkali umenyamaza!

Maumivu na makali na vita ni vikali nimevumumilia nimeshindwa  Sema kitu 


Verse 2

Ona kwa yule ulitenda juzi na leo tena, 

kuna ugumu gani kwangu Baba sema basi

Mimi binadamu nakosa majibu sema Baba Nakuamini sana Baba yangu usiniache

Kuna shida gani! Imekuaje! 

hata usiseme kama ni kosa naomba unisamehe

Turekebishe naomba unisamehe, 

nitateta nawe sitakata tamaa wakuamua yangu bado ni wewe

Na kuamini Mungu Bado ni wewe

Naogopa huko kimya kuna nini Mungu sema neno usikae Kimya nisije kufuru Mungu

Kama siku zangu za kuishi duniani bado zipo oo naomba sasa Baba umalize umalizane na shida zanguu

Mambo mengii nimeomba kwako umejibu hili hujajibu Mungu wangu bado nasubiri kwako

Jibu basi watu wakuone wewe watu wakuone Baba bado nasubiri kwaako.