Poa (Feat. Nandy)

Poa (Feat. Nandy)

Maua Sama

Альбом: Poa
Длительность: 2:50
Год: 2024
Скачать MP3

Текст песни

Sama
(S2kizzy baby)
La-la-la-la
La-la-la-la
The African Princess

Eti nilie mara ninune kisa kuachwa
Mnao subiri nitoe machozi si tuko hapa
Unampenda mtu hakupendi kuvuja kwa pakacha
Sipangiwi ratiba na mtu mapenzi takataka

Sa'ivi bila beat nakwenda hata acapella
Eti nisile tonge kuna jitu linanikera
Stories za mapenzi sitaki, nataka za hela
Ndo maana hata Vanessa aliimbaga tu kisela
Ooh, yeah

Poa tu
Eeh (mi niko poa tu)
Eeh (mwenzenu poa tu)
Yaani unipende, usinipende mi niko (poa tu)
Eeh (mi niko poa tu)
Eeh (mwenzenu poa tu)
Eeh

Poa tu
Poa tu
Poa tu
Mwenzenu poa tu

Kuch kuch hota hai (hota hai)
Nachojua sitozikwa nae
Hizo sweety sijui bae (eeh bae)
Kazipeleke Mumbai (Mumbai)

Sa'ivi bila beat mi nakwenda hata acapella
Eti nisile tonge kuna jitu linanikera
Stories za mapenzi staki, nataka za hela
Ndo maana hata Vanessa aliimbaga tu kisela
Ooh, yeah

Poa tu
Eeh (mi niko poa tu)
Eeh (mwenzenu poa tu)
Yaani unipende, usinipende mi niko (poa tu)
Eeh (mi niko poa tu)
Eeh (mwenzenu poa tu)
Eeh

Poa tu
Poa tu
Poa tu
Mwenzenu poa tu

Eeh-eeh
Yaani unipende, usinipende mi niko
Eeh-eeh
(Kamix Lizer)