Mwambieni (Feat. Mac Voice)

Mwambieni (Feat. Mac Voice)

Rayvanny

Альбом: Flowers Iii
Длительность: 4:24
Год: 2023
Скачать MP3

Текст песни

Iyo lizer

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake
Ah! Jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache

Maana mtoto kanawiri
Jaama
Kumuacha uwe jasiri
Saana
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama
We nichune hadi kandambili
Sawa

Babe pose geuka freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo

Ye ndo tiba ya mwili
Mama
Anituliza akili
Jama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oh oh

Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa, you are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu (Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme