Fadhili Zake Ni Za Milele (Feat. Sifa Voices)

Fadhili Zake Ni Za Milele (Feat. Sifa Voices)

Reuben Kigame

Альбом: Ombi Langu
Длительность: 5:17
Год: 2012
Скачать MP3

Текст песни

Zaburi mia moja thelathini na sita
Tumshukuru bwana na tuimbe pamoja

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele

Mshukuruni Mungu wa miungu
Fadhili zake ni za milele
Mshukuruni Bwana wa mabwana
Fadhili zake ni za milele
Amefanya maajabu
Fadhili zake ni za milele
Yeye alifanya mbingu na nchi
Fadhili zake ni za milele (sema kabisa)

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele

Amefanya mianga mikubwa
Fadhili zake ni za milele
Jua litawale mchana
Fadhili zake ni za milele
Mwezi na nyota usiku
Fadhili zake ni za milele
Akatandaza nchi juu ya maji
Fadhili zake ni za milele (imba kabisa)

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele

Aliyeigawa Bahari ya Shamu
Fadhili zake ni za milele
Akavusha Waisiraeli
Fadhili zake ni za milele
Aliyemshinda Farao
Fadhili zake ni za milele
Na majeshi yake yote
Fadhili zake ni za milele (sema kabisa)

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele (Ihaji chuna hio guitar)

Ni vema kuhesabu baraka ambazo bwana amekatuletea
Yeye ni mwema kwetu, sema kabisa!

Kama humchezei Bwana, utatwambia unamchezea nani

Yeye aliyetukumbuka
Fadhili zake ni za milele
Katika unyonge wetu
Fadhili zake ni za milele
Atuokoaye na watesi
Fadhili zake ni za milele
Mungu kweli ni wa ajabu
Fadhili zake ni za milele (imba kabisa)

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele
Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele (one more time)

Mshukuruni Bwana
Kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake
Ni za milele